6/recent/ticker-posts

MAALIM SEIF AKUTANA NA WIZARA YA TEKNOLOJIA HYDERABAD INDIA





Maalim Seif akikaribishwa kwenye mazungumzo na Katibu wa Idara ya IT&C Sunjay Jaju kwenye Hoteli ya Grand Kakatiya Hyderabad. India




Maalim Seif akipewa zawadi na Pannala Lakshamaia wa idara ya IT&C

Maalim Seif akizungumza kwenye mkutano na Viongozi wa Wizara ya IT& C (Information Technology and Communication). Kulia ni Waziri wa Wizara hiyo Dk Rita Geddy. Kushoto ni Balozi wa Tanania nchini India.

Picha na Salmin Said OMKR

Post a Comment

0 Comments