MKURUGENZI wa Huduma za Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Said Mohamed Said kushoto,akimkabidhi mfano wa hundi ya Shiligi Milioni Saba na Laki tano,Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara ya Utalii Zanzibar (ZATI) Ahmed Abdulswamad kwa ajili ya kudhamini mkutano mkuu wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo hapa Zanzibar.
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
1 hour ago
0 Comments