MKURUGENZI wa Huduma za Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Said Mohamed Said kushoto,akimkabidhi mfano wa hundi ya Shiligi Milioni Saba na Laki tano,Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara ya Utalii Zanzibar (ZATI) Ahmed Abdulswamad kwa ajili ya kudhamini mkutano mkuu wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo hapa Zanzibar.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
3 hours ago
0 Comments