Mwenyekiti wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar, Profesa Chris Maina Peter (Kushoto) akisisitiza Jambo Katika Mazungumzo Yake na Kaimu Mkurugenzi Wa Kituo Hicho, Harusi Miraji Mpatani Baada ya Mazungumzo na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Makungu wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud katika kuimarisha mahusiano na Taasisi hizo za Sheria.
Uchukuzi : Naibu Waziri David Kihenzile Ashiriki Mkutano wa Kimataifa wa
Masuala ya Uchukuzi Nchini Afrika Kusini
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa
wa masuala ya Uchukuzi (NCT), mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa
Gallagher E...
58 minutes ago
0 Comments