MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
10 hours ago
2 Comments
Kazi inafanyika, lakini kuna baadhi ya mambo yanarudisha nyuma. mfano, daraja madhubuti, barabara safi, lakini serikali bado inaona aibu kuwambia wananchi waache kujenga nyumba zao karibu na barabra..hebu angalia eh..!
ReplyDeleteTena, inasemekana sheria zipo tokea ukoloni, ni suala la kuwaelimisha wananchi tuu kupitia vyombo vya habari. ili kuepuka kuwavunjia tena wananchi na kuitia hasara serikali, tukija kutaka kupanua tena barabara siku za mbele.
safi sana mapinduzi daimaa
ReplyDelete