MSIMAMIZI wa Uchaguzi Wilaya ya Kati Unguja Mussa Ali Juma (kulia) akimkabidhi fomu ya kugombea Uwakilishi Jimbo la Uzini, Mohamed Raza Hassan Daramsy kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Tume Koani,baada ya kuteulwa na Chama chake kugombea Uwakilishi katika Jimbo la Uzini, kufuatia kufariki kwa Mwakilishi wake.
KAMATI YA BUNGE YA SHERIA YATEMBELEA KONGANI YA BUZWAGI NA KUPONGEZA
BARRICK KWA KUFUNGA MGODI KITAALAMU
-
Wabunge kutoka Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria
wakitembelea maeneo mbalimbali walipofanya ziara ya kikazi ya kujionea
maendeleo ya ...
43 minutes ago
1 Comments
kamanda sio mjanja wewe tunamchongo mpya wa kukuibiya picha zako angalia kwenye blog yetu tushaichomoa hii na kila utakachoweka tuta copy
ReplyDelete