Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodgar Tenga (kushoto) akibadilishana mkataba wa udhamini wa bia ya Kilimanjaro kwa timu ya Taifa, ‘Taifa Stars’, na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Robin Goetzsche (kulia) wakati wa hafla fupi iliyofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa Kibo, hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro.
“WCF, NIT Waungana Kupunguza Ajali Barabarani na Kulinda Nguvu Kazi ya
Taifa”
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma,
amesema kuwa ushirikiano kati ya WCF na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
(NIT) u...
6 hours ago

0 Comments