Maji yakiruka wakati wa mchana. Kuna Mdau aliwahi kuhoji iweje haya yaruke wakati kwenye majumba hayatoki?
Maji yakiruka wakati wa usiku. Enzi hizo yalikuwa yakiitwa maji ya dhahabu. Yamerudishwa tena baada ya miaka kadhaa kupita.
Je picha hii imechukuliwa kutoka Jumba No Ngapi na Mpiga picha alikuwa ghorofa ya ngapi??
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI RUANGWA-NACHINGWEA
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 21, 2025 ameweka jiwe la
msingi la ujenzi wa mradi wa maji Lindi-Ruangwa- Nachingwea, katika kijiji
cha Chi...
2 hours ago
1 Comments
No 3 na alikuwa juu varanda
ReplyDelete