Naibu katibu Mkuu Ofisi ya makamu wa Rais Eng. Ngosi Mwihava akiangalia ndege katika banda la Chuo cha Uhifadhi na Usimamizi Wanyama Pori Mwika alipotembelea banda hilo,wakati wa maonyesho ya wiki ya mazingira mkoani Kililimanajaro.(Picha na Ali meja)
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais.Mhe. Charles Kitwanga akipata maelezo kutoka kwa Bi Arafa Maggid Mhandisi Mazingira Bonde la Pangangi kuhusu Vifaa vya Kupimia Ubora wa Maji,alipotembelea banda la hilo katika maonyesho ya Wiki ya Mazingira Mkoani Kilimanjaro.(Picha na Ali meja Ofisi ya makamu wa rais)
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
6 hours ago
0 Comments