Maji yakiruka wakati wa mchana. Kuna Mdau aliwahi kuhoji iweje haya yaruke wakati kwenye majumba hayatoki?
Maji yakiruka wakati wa usiku. Enzi hizo yalikuwa yakiitwa maji ya dhahabu. Yamerudishwa tena baada ya miaka kadhaa kupita.
Je picha hii imechukuliwa kutoka Jumba No Ngapi na Mpiga picha alikuwa ghorofa ya ngapi??
KISIWA CHA SAANANE CHAADHIMISHA 'BIRTHDAY' MIAKA 10 YA SIMBA
-
Simba wa Keki maalum kwa ajili ya Simba wa Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha
Saanane akijiandaa kula keki maalum
Keki maalum kwa ajili ya Simba wa Hifadhi ya...
2 hours ago
1 Comments
No 3 na alikuwa juu varanda
ReplyDelete