6/recent/ticker-posts

Wasanii Kikosi cha Taifa Wateuliwa

Na Abdi Shamnah – WHUUM 29TH. Juni, 2012

 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 Waziri wa Habari, Utamaduni,Utalii na Michezo Zanzibar, Mh. Said Ali Mbarouk, amewateua wasanii 29 wa muziki wa taarabu, kuunda kikosi cha taifa cha Sanaa za Maonyesho. 

Katika orodha huo kuna magwiji kadhaa wa kupiga vinanda na kuimba ambao walikuwemo katika kikosi kilichopita . 

Aidha wasanii wanaounda kikosi hicho ni mchanganyiko kutoka vikundi mbali mbali vya muziki wa taarabu vilivyo mashuhuri hapa Zanzibar, hususan katika upigaji wa taarabu asilia. 


Majina ya wasanii hao na vyombo/ala wanavyotumia katika mabano, ni kama ifuatavyo;- 
 1. Ramadhan Khamis Mussa – Violin
 2. Makame Ali - Mpiga Chelo/muimbaji 
3. Suleiman Habib – Mpiga Bongo 
4. Fauzia Abdalla – Muimbaji 
5. Said Mwinychande – Cordian 
6. Makame Faki Makame – Chelo/Muimbaji 
7. Kesi Juma Makame – Viollin 8.
Mtumwa Mbarouk – Muimbaji 
9. Idd Suleiman Suweid – Muimbaji 
10. Said Ali Kombo – Vayolin 
11. Fatma Issa Juma – Muimbaji 
12. Mohammed Ilyas Amirdin – Muimbaji/Mpiga Vayolin/Cordian/Key-board 
13. Khamis Nyange Makame – Vayoplin/Muimbaji
 14. Nassor Amour – mpiga Ganuni 
15. Masoud Mfaume – Mpiga Cordian 
16. Ali Hassan Ali – Mpiga Uddi 
17. Taimour Roukny Taha – Mpiga Keyboard 
18. Rajab Suleiman Rajab – Mpiga Ganuni 
19. Ali said Wazera – Muimbaji 
20. Daud Shadhil – Mpiga Base 
21. ALI Masoud – Mtangazaji 
22. Ali Ibrahim – Mpiga Keyboard/Cordian 
23. Saleh yussuf saleh – Mpiga Kidumbaki 
24. Chimbeni Kheir – Mtangazaji 
25. Sihaba Juma – Muimbaji 
26. Rukia Ramadhan Ali – Muimbaji 
27. Sada Mohammed Bakar – Muimbaji 
28. Hilda Mohammed Abdalla – Muimbaji 
29. Asha Ali Abdalla - Muimbaji

 Aidha Mh. Waziri amemteua Nd. Maulid Haji Mkadamu kuwa Mratibu wakikundi hicho. Nakutumia kwa hatua zako za kufaa, tafadhali.

Post a Comment

0 Comments