Asalama alaikum waisilam wote kwa ujumba huu ni mwezi mtukufu kwetu waisilamu kufanya mema pia kuzidi kukumbusha yale tunayoyasahau au tusiyo yajuwa hakuna binadamu aliye kamilika nikatika mwezi huu ndio iliposhushwa quran tukufu ndani ya Qurani hiyo kuna mengi sana tu leo hapa napenda tukumbushane kauli wapo ya Mmungu iliyokuwemo ndaniya Qurani Mmungu anatwambia Waiteni watoto wenu kwa majina ya Baba zao sasa unapo mwita huyu mke wa Rais kwa jina la mumewe (Mwanamwema Shein) tayari unakizana na kauli ya Mwenywezi Mungu,lakini nomba hapa ikumbukwe inategemea na imani ya dini ya mwitaji na aitwae Asalam alikum
MIKOKO YAPEWA KIPAUMBELE KITAIFA
-
-Waziri: Hekta 158,000 za hifadhi zilindwe, ziwe ngao ya mabadiliko ya
tabianchi
Na Mwandishi Wetu, Lindi
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe Dkt. Ashatu ...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
1 Comments
Asalama alaikum waisilam wote kwa ujumba huu ni mwezi mtukufu kwetu waisilamu kufanya mema pia kuzidi kukumbusha yale tunayoyasahau au tusiyo yajuwa hakuna binadamu aliye kamilika nikatika mwezi huu ndio iliposhushwa quran tukufu ndani ya Qurani hiyo kuna mengi sana tu leo hapa napenda tukumbushane kauli wapo ya Mmungu iliyokuwemo ndaniya Qurani Mmungu anatwambia Waiteni watoto wenu kwa majina ya Baba zao sasa unapo mwita huyu mke wa Rais kwa jina la mumewe (Mwanamwema Shein) tayari unakizana na kauli ya Mwenywezi Mungu,lakini nomba hapa ikumbukwe inategemea na imani ya dini ya mwitaji na aitwae Asalam alikum
ReplyDelete