Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokeaCheki ya Shilingi Milioni Tano kutoka kwa Meneja Uhusiano wa Mfuko wa PPF Tanzania Lulu Mengele, kwa ajili ya Watu waliopata ajali ya kuzama kwa Meli ya Skagit, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Makamu Baraza la Wawakilishi Chukwani
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
2 hours ago
0 Comments