Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokeaCheki ya Shilingi Milioni Tano kutoka kwa Meneja Uhusiano wa Mfuko wa PPF Tanzania Lulu Mengele, kwa ajili ya Watu waliopata ajali ya kuzama kwa Meli ya Skagit, makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi ya Makamu Baraza la Wawakilishi Chukwani
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
6 hours ago
0 Comments