MCHEZAJI Derrick Walulya wa timu ya URA FC ya Uganda, akimiliki mpira mbele ya Felix Sunzu wa Simba katika mechi ya kuwania Kombe la Kagame iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Simba ilisalimu amri kwa kuchapwa mabao 2-0.
DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO
-
*Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na
kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shiri...
2 hours ago
0 Comments