MCHEZAJI Derrick Walulya wa timu ya URA FC ya Uganda, akimiliki mpira mbele ya Felix Sunzu wa Simba katika mechi ya kuwania Kombe la Kagame iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Simba ilisalimu amri kwa kuchapwa mabao 2-0.
RC MARA ATEMBELEA UJENZI WA MAKAZI MAPYA YA WANANCHI WANAOPISHA UPANUZI WA
MGODI WA BARRICK NORTH MARA
-
Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu
inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa fidia kupisha upanuzi wa
mgodi wa Bar...
19 minutes ago
0 Comments