Waumini wa kiislamu Leicester wakisubiri sala ya Eid kusaliwa
Waumini wa kiislamu Leicester wakisubiri sala ya Eid kusaliwa
Sheikh Abdalla Sane akijiandaa kwenda kusalisha sala ya Eid iliofanyika katika ukumbi wa Taylor Road School
Kila mtu alikuwa makini katika hotuba hiyo
Inshaallah hawa ndio wanafunzi watakaonufaika na jengo hilo ambalo jumuiya ya An Noor inalipigania kulipata
Baadhi ya wajumbe wa An Noor Community Leicester baada ya kukamilisha shughuli yote ya suala zima la Eid
WANANCHI WANA MATUMAINI MAKUBWA NA SERIKALI KUPITIA REA–MHANDISI SAIDY
-
Na Maandishi Wetu
MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi, Hassan
Saidy amesema Wananchi hususan wanaoishi vijijini wana matumain...
23 minutes ago






1 Comments
Jee wanamama wenzetu huko hamuswali sala ya eid? mbona hatuwaoni?
ReplyDelete