Waumini wa kiislamu Leicester wakisubiri sala ya Eid kusaliwa
Waumini wa kiislamu Leicester wakisubiri sala ya Eid kusaliwa
Sheikh Abdalla Sane akijiandaa kwenda kusalisha sala ya Eid iliofanyika katika ukumbi wa Taylor Road School
Kila mtu alikuwa makini katika hotuba hiyo
Inshaallah hawa ndio wanafunzi watakaonufaika na jengo hilo ambalo jumuiya ya An Noor inalipigania kulipata
Baadhi ya wajumbe wa An Noor Community Leicester baada ya kukamilisha shughuli yote ya suala zima la Eid
BoT YASHIRIKISHA WADAU MPANGO WA KUANZISHA KAMPUNI YA UDHAMINI WA MIKOPO
-
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiongozwa na Naibu Gavana wa Sera za Uchumi
na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila, imefanya kikao na wadau mbalimbali
kujadilian...
24 minutes ago






1 Comments
Jee wanamama wenzetu huko hamuswali sala ya eid? mbona hatuwaoni?
ReplyDelete