Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akizungumza na Waandishi wa Habari [Pichani hawapo] kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Mazingira wa Nchi za Afrika, Mkutano huu ni Kutathimini utekelezaji wa Makubaliano ya Mkutano wa 13 Uliofanyika Banako, Mali Mkutano Unafanyika Nchini Tanzania Mjini Arusha kulia Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Julias Ningu[Picha na Ali Meja]
Ripoti ya Kerry ya Taste Charts 2026 Yaonesha Ladha za Tangawizi, Ukwaju na
Mango Chilli Kinara Mabadiliko ya Ladha Barani Afrika
-
NAIROBI, KENYA. Kampuni ya Kerry Group, kinara wa kimataifa katika masuala
ya ladha na lishe, imezindua ripoti ya Kenya 2026 Taste Charts, ikionyesha
mab...
6 hours ago
0 Comments