Wananchi wakiwa katika harakatiza kujipatia mahitaji mbalimbali katika soko la mwanakwerekwe Unguja, ambalo ni soko kubwa kwasasa na hupokea mazao mbalimbali kutoka Unguja na Pemba. Hufika sokoni hapo kwa mauzo ya Jumla na Rejareja kwa walaji.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
1 hour ago
0 Comments