Wananchi wakiwa katika harakatiza kujipatia mahitaji mbalimbali katika soko la mwanakwerekwe Unguja, ambalo ni soko kubwa kwasasa na hupokea mazao mbalimbali kutoka Unguja na Pemba. Hufika sokoni hapo kwa mauzo ya Jumla na Rejareja kwa walaji.
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Watanzania...
9 hours ago
0 Comments