Meli ya Kampuni ya Azam Marine ikiondoka katika bandari ya Zanzibar kuelekea Kisiwani Pemba baada ya kupakia abiria, Hali ya Usafi kati ya Zanzibar na Pemba umekuwa wa uhakika baada ya meli hii kuaza kutoa huduma hiyo ya usafiri kama inavyoonekana pichani.
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
2 hours ago
0 Comments