Meli ya Kampuni ya Azam Marine ikiondoka katika bandari ya Zanzibar kuelekea Kisiwani Pemba baada ya kupakia abiria, Hali ya Usafi kati ya Zanzibar na Pemba umekuwa wa uhakika baada ya meli hii kuaza kutoa huduma hiyo ya usafiri kama inavyoonekana pichani.
MWILI WA MWANAMKE WAPATIKANA UMEFUKIWA NDANI YA NYUMBA YA RAFIKI YAKE KILOSA
-
FARIDA MANGUBE, KILOSA, MOROGORO
HOFU na simanzi vimetanda katika Kijiji cha Changarawe wilayani Kilosa
mkoani Morogoro baada ya mwili wa mwanamke ali...
9 hours ago
0 Comments