Wafanyabiashara katika kituo cha Daladala darajani wamekuwa kero kwa abiria wanaotumia kituo hicho kutokana na kuvamia eneo kubwa la kituo hicho kwa kupanga bidhaa zao chini na kwenye meza.inakuwa shida kwa watumiaji hao na magari ya abiria yanayotumia kituo hicho kama inavyoonekana hali halisi ya kituo hicho katika picha. Taasisi husika inabidi kuchukuwa hatuwa ya kuondoa tatizo hili kwa wakati muafaka ili kutowa nafasi kwa abiria kuwa katika hali ya usalama zaidi na vurugu hizo.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
14 hours ago
0 Comments