WAFANYAKAZI wa Duka la Kabadilishia Fedha za Kigeni la
Bahari lilioko mtaa wa Mchangani ambalo limepata ajali ya moto iliosababishwa na hitilafu za umeme, uliotokea asubuhi na wananchi kufanikiwa kuuzima moto huo kwa nguvu za wanananchi na wafanyakazi wa duka hilo,Katika moto huo hakuna Mtu ambaye amejeruhiwa katika ajali hiyo na hakukuwa na uharibifu wa mali, wakifanya usafi ili kufanya marekebisho na kuendelea na kutowa huduma kwa wateja wake.
VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAKABIDHI MATUNDU 10 YA VYOO SHULE YA MSINGI
MKATA.
-
-Vodacom Tanzania Foundation Imejenga matundu 10 ya vyoo Shule ya Msingi
Mkata
Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Twende Butiama pamoja na
...
58 minutes ago
0 Comments