Muwezeshaji Neil Coul, akitowa Mafunzo ya Uwezo wa Kiusalana na Kiulinzi kwa Wadau wanaotowa huduma katika viwanja vya ndege vya Zanzibar, Mafunzo hayo yameandaliwa na Ubalozi wa Uingereza na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar.
SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
7 hours ago
0 Comments