Mabadiliko ya Tabianchi inasababisha uharibifu wa mazingira ya maeneo mbalimbali ya kukumbwa na Tabianchi kama sehemu hii ya Ufukwe wa bahari ya Nungwi ikiwa imeliwa na maji ya bahari na kusababisha eneo la ufukwe huo kuchukuliwa na maji ya bahari, kama inavyoonekana eneo hili lilikiwa tayari limekumbwa na hali hiyo.
TSL yazindua mpango wa ubunifu wa pamoja kupanua fursa za uwekezaji
-
Kampuni ya Tanzania Securities Limited (TSL) imepiga hatua nyingine kubwa
leo kwa kuzindua mipango miwili ya uwekezaji wa pamoja na ya kibunifu:
Mfuko wa I...
12 minutes ago
0 Comments