Mdau hili ni duka siyo maonesho ya Hapa ni darajani maarufu jua kali wafanyabiashara wakiwa wametandaza viatu barazani kusubiri wateja wa bidhaa hiyo. eneo hilo mara nyingi hufukuzana na askali wa manispa kwa kuwa eneo hilo sio la kufanya biashara ya aina yoyote ile. hapo mwazo wafanyabiashara wa aina hii waliondolewa na kuhamishiwa saateni ili kufanya biashara yao kwa utulivyu zaidi.bila ya bughudha ya kufukusana na askari wa manispa. .
DC Ilala Aagiza Polisi Kuwakamata Wauaji wa Salehe Iddi Salehe
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya
ya Kipolisi Ilala, kupitia Kamanda wake ACP Yustino Mgonja, kuhakikisha
lina...
7 hours ago
0 Comments