Mjasiriamali wa biashara ndogondogo, akiwa katika mizunguko ya kutafuta wateja wa bidhaa hiyo katika mitaa ya kihinani akiwa na bidha hizo, wajasiriamali wanahitaji kupatiwa msaada wa utekelezaji wa biashara hzo ili kuweka kuwa wafanyabiashara endelevu na kujiongezea kipato chake.
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
55 minutes ago
0 Comments