Mjasiriamali wa biashara ndogondogo, akiwa katika mizunguko ya kutafuta wateja wa bidhaa hiyo katika mitaa ya kihinani akiwa na bidha hizo, wajasiriamali wanahitaji kupatiwa msaada wa utekelezaji wa biashara hzo ili kuweka kuwa wafanyabiashara endelevu na kujiongezea kipato chake.
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
11 hours ago
0 Comments