KOcha Mkuu wa Simba akikinowa Kikosi chake katika Kisiwa cha Marashi ya Karafuu kwa ajili ya mechi yao na timu ya Yanga unaotarajiwa kufanyika jumamosi 18-5-2013 mjini Dar, Kikosi hicho kikiwa kimejichimbia Kisiwani huko na kufanya mazoezi yao katika Uwanja wa Mao Zenj.Kama anavyoonekana akitowa mafunzo kwa kikosi chake.
UBORESHAJI WA HUDUMA ZA WATEJA: MBUNGE BAGAMOYO AKABIDHI MAGARI KWA TANESCO
-
Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Mhe. Subira Mgalu leo Machi 03, 2026
amekabidhi magari mapya kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya
Bagamoyo mko...
1 hour ago
0 Comments