Air Tanzania Yatua Victoria Falls kwa Mara ya Kwanza, Yaongeza Safari
Zimbabwe
-
NDEGE ya Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) imefanya first touch down
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Victoria Falls, Zimbabwe, leo mchana
t...
4 hours ago
1 Comments
nd kikwete, unaahidi donge nono kwa wachezaji mpira kwa kushinda , wakati ushindi huo hauleti pato wala mafao kwa watanzania ambao wengi wetu tuna njaa , magonjwa ,mashule yetu duni , kwa nini hilo donge usilipeleke kwenye maeneo kama hayo ? hata kama hizo fedha zinatoka kwenye pato lako binafsi sidhani kama ni akili kutangaza hilo donge kwa mambo ya starehe / anasa
ReplyDelete