Meneja Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Seif Suleiman kulia akimkabidhi fulana Mrajisi wa Baraza la Wauguzi Zanzibar Haji Haji Khamis, kwa ajili ya kusherehekea Siku ya Wauguzi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka Mei 12. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za PBZ Darajani akishuhudia makabidhiano hayo Msaidizi Muuguzi Wanu Bakari.
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AWASHAURI VIONGOZI KUJENGA UTAMADUNI WA
KUWASAIDIA WANANCHI
-
Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewashauri viongozi kujenga utamaduni
wa kuwas...
28 minutes ago
0 Comments