Meneja Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Seif Suleiman kulia akimkabidhi fulana Mrajisi wa Baraza la Wauguzi Zanzibar Haji Haji Khamis, kwa ajili ya kusherehekea Siku ya Wauguzi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka Mei 12. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za PBZ Darajani akishuhudia makabidhiano hayo Msaidizi Muuguzi Wanu Bakari.
EWURA, TRA kuimarisha ushirikiano
-
Watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na
wenzao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), leo 23 Desemba 2025, wamekutana
na kuj...
12 minutes ago
0 Comments