Kwa habari tulizozipata sasa hivi kuwa timu ya Yanga Afrika inaongoza bao moja lililofungwa na mshambuliaji Didier Kavumbagu , katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo unaofanyika jiji Dar-es-Salaam.Mpka sasa Dar Yanga afrika ikiwa mbele kwa bao hilo.
TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI
-
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman
Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za
Kitaifa za Oli...
7 hours ago
0 Comments