Wananchi wakifuatilia kusoma vichwa vya habari kupitia magazeti mbalimbali katika moja ya kituo cha kuuziamagazeti malindi, Ikiwa wakati huu magazeti mengi yamechapisha rasimu ya Katiba ya Tanzania.Watu wengi husoma vichwa vya habari za magazeti na kuona lipi linalomvutia na kununua kwa ajili ya kujisomea zaidi habari ziliomo.
FCC Itaendelea Kusimamia Haki za Walaji katika Mikataba ya Upande Mmoja
-
Na Mwandishi Wetu
Dar es Salaam, Machi 10, 2026. Tume ya Ushindani (FCC) imesema itaendelea
kusimamia kwa karibu haki za walaji kwa taasisi na kampuni zi...
49 minutes ago
0 Comments