Msimu wa Madoriani tayari umeaza na kuaza kuletwa Marikiti Darajani kwa wateja wa bidhaa hiyo doriani moja limefika kuuzwa kwa bei ya shilingi 4500/= hadi 6000/= Doriani ni tunda ambalo limetokea kupendwa na Wananchi wengi wa ndani ya Zenj na nje ya Zenj kutokana ladha yake kuwa nzuri lakini linachoma kutokana na miba yake.
Waziri wa Kilimo, Amefanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mipango na Uwekezaji
-
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amefanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander
Mk...
3 hours ago
0 Comments