Mdau mambo ya embe kery wakati wa enzi zetu tukiwa skuli ya kidutani pale chini ya mshelisheli wazee wakiwa na biashara hiyo na nyengine nyingi bado watoto wetu na ndugu zetu wanafaidi embe kery wakiwa katikamaeneo ya skuli ya kajificheni na hamamni wakijipatia embekery. naona unamezea mate kutokana na sifa za embe ukiona huvutiwa na kujaa na mate mdomoni. kazi kwako mdau.
NINA IMANI KUBWA NA UTENDAJI KAZI WA OFISI YA MWANDISHI MKUU WA
SHERIA-MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amewataka Watumishi wa
Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria kufanya kazi kwa Weledi na Ufanisi ili
kufiki...
2 hours ago
1 Comments
Naam embe keri hiyo
ReplyDelete