Mdau mambo ya embe kery wakati wa enzi zetu tukiwa skuli ya kidutani pale chini ya mshelisheli wazee wakiwa na biashara hiyo na nyengine nyingi bado watoto wetu na ndugu zetu wanafaidi embe kery wakiwa katikamaeneo ya skuli ya kajificheni na hamamni wakijipatia embekery. naona unamezea mate kutokana na sifa za embe ukiona huvutiwa na kujaa na mate mdomoni. kazi kwako mdau.
Waziri wa Kilimo, Amefanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mipango na Uwekezaji
-
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amefanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander
Mk...
3 hours ago
1 Comments
Naam embe keri hiyo
ReplyDelete