Mshindi wa shilingi Milioni moja taslimu Khalfan Habib Haji kutoka Kidimni, Pemba akikabidhiwa zawadi yake
Mshindi wa Promosheni ya Zantel Yussuf Khamis Khalfan mkaazi wa Jangombe akipokea zawadi yake ya Vespa aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Masoko wa Zantel Mohammed Mussa Baucha
Mshindi wa Promosheni ya Zantel Juma Ali Kitwana mkaazi wa Kikwajuni akipokea zawadi yake ya Huawei Media Pad aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Masoko wa Zantel Mohammed Mussa Baucha
Mshindi wa Promosheni ya Zantel Nasra Issa Nassor mkaazi wa Gongoni akipokea zawadi yake ya Modem aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Masoko wa Zantel Mohammed Mussa Baucha
Mshindi wa Promosheni ya Zantel Said Khamis Juma mkaazi wa Mombasa akipokea zawadi yake ya Modem aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Masoko wa Zantel Mohammed Mussa Baucha
DIWANI KATA YA BUKOBA AWEKA WAZI MIKAKATI YAKE KUINUA KATA YAKE KIMAENDELEO
-
Na Diana Byera,Bukoba.
Diwani wa Kata ya Bakoba, Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera Shabani Rashidi,
ametangaza mkakati mpana wa maendeleo unaolenga kuwaweze...
7 minutes ago

0 Comments