BoT YASHIRIKISHA WADAU MPANGO WA KUANZISHA KAMPUNI YA UDHAMINI WA MIKOPO
-
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiongozwa na Naibu Gavana wa Sera za Uchumi
na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila, imefanya kikao na wadau mbalimbali
kujadilian...
1 hour ago
1 Comments
hivi JK kwani lazima upeleke majeshi yetu nchi za kigeni? huachi kimbelembele bado haya yaliyotukuta hayajatosha , basi kama bado naomba uwapeleke ndugu zako kwanza kuwa mstari wa mbele kwenye kulinda amani, tangu lini amani ikalindwa na wageni , sisi kule sudani ni wageni tu hata ufanye vipi
ReplyDelete