Wafanyabiasha ya Uchuuzi wa samaki aina ya Vibuwa wakiwa katika bandari ya malindi wakipanga samaki hao kwa ajili ya wateja wao, katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani samaki hutumika sana katika futari na daku, msimu ukiwa umeanza katika bandari hiyo ndoo moja ya kibua iliuzwa kwa shilingi 75000/= katika bandari hiyo.
RC TANGA AWATAKA WALIOPANGA KUCHOMA MATAIRI MKESHA WA MWAKA MPYA WASITHUBUTU
-
Na Oscar Assenga, TANGA
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wananchi wa mkoa
wa Tanga ambao wamepanga kutumia matairi kuchoma moto...
3 hours ago
3 Comments
Fungu la vibua linafika bei gani siku hizi?
ReplyDeleteSubhaanaAllah
ReplyDeleteTsh. 75000 elfu au elfu 7. Mbona sijafahamu.
ReplyDeleteIkiwa ni elfu Saba kwa ndoo. Basi ni kiama cha naisha kwa masikini ya Mungu.