Wafanyabiasha ya Uchuuzi wa samaki aina ya Vibuwa wakiwa katika bandari ya malindi wakipanga samaki hao kwa ajili ya wateja wao, katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani samaki hutumika sana katika futari na daku, msimu ukiwa umeanza katika bandari hiyo ndoo moja ya kibua iliuzwa kwa shilingi 75000/= katika bandari hiyo.
CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA, KAMPASI YA MBEYA, CHAADHIMISHA MIAKA 25
KWA KUTOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
-
Mbeya- Jumanne, Machi 31, 2026
Katika kuadhimisha miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC),
Kampasi ya Mbeya imefanya shughuli za kijamii, ik...
2 hours ago
3 Comments
Fungu la vibua linafika bei gani siku hizi?
ReplyDeleteSubhaanaAllah
ReplyDeleteTsh. 75000 elfu au elfu 7. Mbona sijafahamu.
ReplyDeleteIkiwa ni elfu Saba kwa ndoo. Basi ni kiama cha naisha kwa masikini ya Mungu.