Ajali si ya gari peke yake hata na rukwama nalo hupata ajali likiwa katika kazi zake, kama inavyoonekana pichani msokuma mkokoteni (rukwama) akishusha mizogo katika rukwama hilo baada ya kupata ajali ya kutoka kwa ringi na kusababisha kuzuiya njia kwa muda mfupi katika eneo la marikiti ya mbogamboga na kushusha mizigo hiyo. ukizingatia katika kipindi hichi cha mfungo inakuwaje kazi hii.
CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA, KAMPASI YA MBEYA, CHAADHIMISHA MIAKA 25
KWA KUTOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA
-
Mbeya- Jumanne, Machi 31, 2026
Katika kuadhimisha miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC),
Kampasi ya Mbeya imefanya shughuli za kijamii, ik...
2 hours ago
0 Comments