Ajali si ya gari peke yake hata na rukwama nalo hupata ajali likiwa katika kazi zake, kama inavyoonekana pichani msokuma mkokoteni (rukwama) akishusha mizogo katika rukwama hilo baada ya kupata ajali ya kutoka kwa ringi na kusababisha kuzuiya njia kwa muda mfupi katika eneo la marikiti ya mbogamboga na kushusha mizigo hiyo. ukizingatia katika kipindi hichi cha mfungo inakuwaje kazi hii.
RC TANGA AWATAKA WALIOPANGA KUCHOMA MATAIRI MKESHA WA MWAKA MPYA WASITHUBUTU
-
Na Oscar Assenga, TANGA
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wananchi wa mkoa
wa Tanga ambao wamepanga kutumia matairi kuchoma moto...
3 hours ago
0 Comments