Mshambuliaji wa Timu ya TRA United Enock Mkanga (kulia) na (kushoto) beki wa Timu ya KVZ Juma Shaban Hussein wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex, katika mchezo huo Timi hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
RC CHALAMILA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KUFUATIA KIFO CHA CARDINALI PENGO
-
Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Feb 23,2026 akiwa
ameambatana na kamati ya usalama Mkoa, amesaini kitabu cha maom...
6 hours ago







0 Comments