Mshambuliaji wa Timu ya TRA United Enock Mkanga (kulia) na (kushoto) beki wa Timu ya KVZ Juma Shaban Hussein wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex, katika mchezo huo Timi hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Waziri wa Kilimo, Amefanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mipango na Uwekezaji
-
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amefanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander
Mk...
4 hours ago







0 Comments