SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
10 hours ago
1 Comments
Z'bar tulitakiwa kujikita zaidi ktk michezo 'yetu' kama vile kuogelea, kukimbia, mashairi, bao n.k.
ReplyDeleteMichezo niliyoitaja ni rahisi ktk mazingira yetu na haina gharama kubwa.
Hii iliyobaki tukajishughulisha nayo tu ili tusiachwe nyuma na wenzetu Duniani..Angalia mfano wa wenzetu INDIA na PAKISTA..wao ni 'CRICKET'...kwenda mbele!