Loo kweli bwana namkubuka huyu Goal kipa wao sijuwi yupo wapi kwa sasa miaka miaka inapita nakumbuka walikuwa wachezaji hao wakipita mtaani kwetu pale mbuyu taifa wakielekea kiwanjani kwao lumumba sijuwi kama ule mbuyu bado kama upo
Muziki : Rais Dkt Samia amkumbuka nguli Zahir Zorro
-
Na Mashaka Mhando
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amemtumia salamu za faraja na mkono wa heri nguli wa muziki w...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
5 Comments
mlandege
ReplyDeleteLoo kweli bwana namkubuka huyu Goal kipa wao sijuwi yupo wapi kwa sasa miaka miaka inapita nakumbuka walikuwa wachezaji hao wakipita mtaani kwetu pale mbuyu taifa wakielekea kiwanjani kwao lumumba sijuwi kama ule mbuyu bado kama upo
ReplyDeleteHiyo sio timu ya Small Simba?
ReplyDeleteKama sijakosea wachezaji niliowaona ambao na wafahamu ni Karume Mussa, Faria Shawal, Othman Masoudi.. wengine siwajui.
MLANDEGE ,HAPO NAMKUMUKA SATARI,ABDUL MALAIKA ,SHEM FRANK, ABDUL PIRA MALAI ,NA JUMA BAKARI KIDISHI,MADOLE
ReplyDeletesio mchezo hapo 1 ni kipa abdull satary 2 maalim ussi 3 muhidini siso 4 waziri seif 5 muhammed babech 6 shem frenk mkiristo 7 simkumbuki waliochuchama 1 simkumbuki 2 said Suleiman 3 eddy odo abdu pira 4 juma kidishi 5 simkumbuki
ReplyDelete