Wachuuzi wa samaki wakiwa katika mnada wa samaki katika bandari ya malindi Zenj, bandari hiyo hutumika kwa wavuvi mbalimbali kufikisha samaki katika bandari hiyo na kuuzwa kwa njia ya mnada.Kama wanavyoonekana Wananchi na Wachuuzi wakiwa katika mnada huo.
Mpakalini mambo haya ya kuvuliwa samki na kuuzwa kw minada litaondoka hapa znz, duniya ya leo takiwimu inahitajika kila sekta, sas idara ya uvuvi inajua zina vuliwa tani ngapi kwa siku na mwaka, au ndio hivyo visi vinata waliwa na wakwezi na wakulima
Je Simba Msimu Huu Ataondoka Kapa Tena?
-
LEO hii Meridianbet tunaangazia klabu ya Simba ambayo imekuwa na mabadiliko
yanayotokea hap na pale huku nafasi ya wao kushinda taji la NBC Premier
Leagu...
Muziki : Rais Dkt Samia amkumbuka nguli Zahir Zorro
-
Na Mashaka Mhando
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amemtumia salamu za faraja na mkono wa heri nguli wa muziki w...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
1 Comments
Mpakalini mambo haya ya kuvuliwa samki na kuuzwa kw minada litaondoka hapa znz, duniya ya leo takiwimu inahitajika kila sekta, sas idara ya uvuvi inajua zina vuliwa tani ngapi kwa siku na mwaka, au ndio hivyo visi vinata waliwa na wakwezi na wakulima
ReplyDelete