Mdhamini wa Michuano ya Jimbo la Mfenesini Zanzibar Kheri Adam, akizungumza na wachezaji wa timuya Taifa ya Zanzibar baada ya kukabidhi vifaa kwa ajiliya timu hiyokuweza kujiandaa na maandalizi hayo ya michuano ya chalenji, makabidhiano hayo yamefanyika katika kambi ya timu hiyo ilioko katika hoteli ya bwawani Zanzibar.
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
1 hour ago
0 Comments