Miradi ya maendeleo miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ni Uimarishaji wa miundombinu ya barabara mbalimbali Kisiwani Pemba kutowa huduma ya ufanisi kwa watumiaji wa barabara hizo na kuleta urahisi wa kusafirisha mazao mashambani hadi mjini, kama inavyoonekana barabara hii ya Finya mzambarau takawa kuelekea barabara za Micheweni,Konde
I&M YAPANUA UWEKEZAJI SEKTA YA FEDHA, YAFUNGUA TAWI JIPYA DAR
-
Benki ya I&M imeendelea kupanua uwekezaji wake katika sekta ya fedha baada
ya kufungua rasmi tawi lake la tisa katika eneo la Palm Village, Mikocheni
jijin...
1 hour ago
2 Comments
NAONA HAYO MATUNDA MAPINDUZI YASHAOZA KAKA HIYO BARABARA HAINA HATA ALAMA Z BARABARA ,HATA CHAKI BASI INAYO ONESHA UPANDEMMOJA WA BARABARA ????MPITA MIGUU APITE WAPI ,WENYWE BAISKELI APITE WAPI ,,,, AU KWA VILE IMETIWA LAMI NDO BARABARA ,,,,ACHENI KUDANGANYA WATUUUUUUUUU
ReplyDeleteBarbara nzuri Sana. Tuhongere. Mungu ibariki Zanzibar. I love it!!!
ReplyDelete