Ajali hiyo Kijana mpanda Vespa akiwa na abiria wake akigaragara baada ya kugongwa na gari wakati akipita sehemu siyo yake na kupata ajali hiyii maeneo ya bembela.
Jamaa akimfuata dereva kumlaumu baada ya kuwagonga, Lakini kosa ni la mpanda vespa analaumu bure.
WADAU WA SEKTA YA MILKI MWANZA WAHIMIZWA KUZINGATIA SHERIA NA TAALUMA
-
*MWANZA*
*Wadau wa Sekta ya Milki mkoani Mwanza wamesisitizwa kufanya kazi kwa
weledi kwa kuzingatia sheria, taratibu na misingi ya taaluma ya milki i...
12 minutes ago
0 Comments