Ajali hiyo Kijana mpanda Vespa akiwa na abiria wake akigaragara baada ya kugongwa na gari wakati akipita sehemu siyo yake na kupata ajali hiyii maeneo ya bembela.
Jamaa akimfuata dereva kumlaumu baada ya kuwagonga, Lakini kosa ni la mpanda vespa analaumu bure.
TAIFA STARS YAFUZU HATUA YA MTOANO AFCON
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano
ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kw...
8 hours ago
0 Comments