Mtaa wa historia katika mji mkongwe wa Zenj na unaoongoza kwa biashara ya Vivutio vya Utalii Zanzibar na hutembelewa na wageni mbalimbali wanaofika Unguja bila ya kutembea mji mkongwe hukufika Unguja na kujionea jinsi ya Wananchi wa enzi hizo walivyokuwa wakitumia mitaa hiyo kwa usafiri wa baskeli kila dakika baskeli hiyo na kusikia kengele kingo.
ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA MOJA ZAKUSANYWA UJENZI WA OFISI YA CCM WILAYA
YA TUNDURU
-
Zaidi ya Shilingi milioni mia moja na mchango wa vifaa vya ujenzi, ikiwemo
saruji zimepatikana katika harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa ofisi mpya
ya kis...
1 hour ago
0 Comments