Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dulles tayari kwa Mkutano wa Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Amerika na Africa (US-Africa Leaders summit) uliondaliwa na Rais Barak Obama unaoanza Agosti 4-hadi 6, 2014, ambao utatanguliwa na mikutano mingine ya maendeleo ya sekta mbalimbali na uwekezaji (2-3 Agosti, 2014) jijini Washington DC. PICHA NA IKULU
WAPENDANAO WAPOKEA SIMU YA NGORONGORO, WAJIMWAGA NDANI YA HIFADHI
KUNAWIRISHA PENZI LAO
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.
Kama wewe unahisi Penzi lako linalegalega na kuishiwa Pawa hujachelewa,
mshawishi mpenzi, mume au mke wako mje Bustani ya ...
35 minutes ago




0 Comments