Wafanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiwa kazini kubadilisha mifunuko ya moja ya mtaro wa maji machafu katika eneo la mkunazini ambao sehemu ya mfuniko huo umeibiwa na watu wasiojilikana na kuacha sehemu hiyo kuwa wazi na kuhatarisha watumiaji wa barabara hiyo.
WATANZANIA SABA WAWASILI NCHINI KUTOKEA IRAN
-
Watanzania SABA waliokuwa nchini Iran wamewasili jijini Dar es Salaam Machi
13, 2026, kufuatia operesheni ya uokozi iliyoratibiwa na Serikali ya
Jamhuri ya...
1 minute ago
0 Comments