IPO haja kwa Serikali kuwatengenezea daraja
litakaowaunganisha wananchi wa Kojani mbonde na Kojani juu, ili kuondosha
usumbufu kwa wananchi wakati wa kuvuka kwenda kuhitaji huduma muhimu za kiafya.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
10 hours ago
0 Comments