MKUU wa
Mkoa wa Kusini Pemba, Mhe:Juma Kassim Tindwa mwenyeshati nyeupe, akimkabidhi
matufali 1000, Mwalimu Mkuu wa skuli ya Msingi Alkhamis Camp Eugene Rutegengwa,
ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na makamo wa Pili wa Rais wa
Zanzibar, Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, alipoitembelea skuli hiyo mwezi Januari
mwaka huu.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
8 hours ago
0 Comments