KUWEPO kuwa Umeme wa Uhakika kisiwani Pemba Kutoka
Mkoani Tanga kupitia Chini ya Bahari, tayari wananchi waishio katika visiwa
Vidogo Vidogo wamekuwa wakinufaika na huduma hiyo, Pichani nguzo za Umeme
zilizoko katika ya bahari kutoka likoni kuelekea katika kisiwa cha Kojani
Wilaya ya Wete.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
TANESCO yafanya wasilisho la taarifa ya TAASISI kwa kamati ya Bunge ya
Nishati na Madini
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro
Twange, leo Januari 21, 2026 amewasilisha Taarifa ya Taasisi mbele ya
Kamati ya Kud...
14 minutes ago
0 Comments