Mafundi wa wakifunga taa za kuongozea magari katika barabara ya makutano ya barabara ya michezani na darajani ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara hiyo. Taa hizo mpya zinachukua nafasi ya taa za zamani zilizoharibika kwa muda mrefu na kuacha eneo hilo bila ya taa kwa kipindi kikubwa na kuongezeka kwa msonganmano wa magari katika barabara hiyo.
NDUNA MKOMANILE ANG’ARA RUVUMA: WANANCHI WAJIFUNZA MCHANGO WA WANAWAKE
KATIKA VITA VYA MAJIMAJI
-
Wananchi mbalimbali pamoja na baadhi ya viongozi wamepata fursa ya
kutembelea onyesho maalum la Nduna Mkomanile lililofanyika katika Kituo cha
Baraza la ...
43 minutes ago
0 Comments